Mkutano wa Afya ya Jamii utafanyika katika Jumba la St Paul la Afrika kwa kikundi kinachozungumza Kongo – Kiswahili mnamo Jumatano tarehe 14 Julai 2021. Daktari Helen Roberts wa Kituo cha Chanjo cha McIntosh atakuwepo kujibu maswali ya kitabibu. Waalimu wa Afya ya Jamii watahudhuria kutoa msaada. Huduma ya watoto inapatikana kwa wale wanaohitaji. Kuanzia 4:30 – 6pm
Mkutano wa Habari wa COVID-19
Sikia kuhusu ushauri na mahitaji ya sasa ya Serikali
Kupimwa na Chanjo
4:30 – 6:00 Jioni
Jumatano tarehe 14 Julai 2021
Jumba la St Paul la Afrika, 54 Poplar Avenue Shepparton
• Utunzaji wa watoto
• Vitafunio
• Inasaidiwa na Waelimishaji wako wa Afya ya Jamii
• Watafsiri watakuwepo kusaidia
Pakua kipeperushi cha tukio hili
Kwa habari zaidi , piga Lorna Gillespie 0429 661 975